IGP SIMON SIRRO

IGP SIMON SIRRO смотреть последние обновления за сегодня на .

Kauli ya IGP Sirro kwa wanafunzi wa kozi ya askari Polisi - Moshi

124479
486
55
00:02:48
27.06.2022

Subscribe hapa : 🤍 Tufuate Kwenye Twitter : 🤍 Like Ukurasa wetu wa Facebook : 🤍

Kauli ya Kwanza ya IGP Simon Sirro Baada Kuapishwa na Rais Magufuli

29515
60
12
00:03:26
29.05.2017

IGP Simon Sirro, muda mfupi baada ya kuapishwa, amezungumza na waandishi wa habari ikulu jijini dar es Salaam ambapo amemshukuru mheshimiwa rais kwa kumuamini na kumpa nafasi ya kuliongoza jeshi la polisi. Visit 🤍 Subscribe 🤍 Huku mara kwa mara akikumbwa na kigugumizi kutokana na furaha, IGP Sirro amesema kazi yake kubwa anayokwenda kuifanya, ni kuhakikisha wananchi wote na mali zao wapo salama, akasisitiza kwamba watahakikisha wahalifu wote wanatoweka. Akaongeza kwamba ushirikiano kati ya raia na jeshi la polisi ndiyo pekee unaoweza kumaliza uhalifu nchini. Visit 🤍 Subscribe 🤍 Kuhusu mauaji yanayoendelea kutingisha Kibiti, Mkuranga na Rufiji, Kamanda Sirro amesema anahitaji kwenda eneo la tukio na kulisoma zaidi ili kujua mbinu inayoweza kutumika kumaliza wimbi la mauaji kwenye ukanda huo. Visit 🤍 Subscribe 🤍 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli leo Jumatatu Mei, 29, 2017 amemuapisha rasmi aliyekuwa Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Simon Sirro kuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP) akichukua nafasi ya Ernest Mangu. Visit 🤍 Subscribe 🤍 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… 🤍 🤍 🤍 WEBSITE: 🤍 FACEBOOK: 🤍 TWITTER: 🤍 INSTAGRAM: 🤍

MWANZO-MWISHO: IGP Sirro aenda Kibiti na Mkuranga

259427
768
151
00:10:25
06.06.2017

Wiki moja tangu IGP Simon Sirro aapishwe na JPM kuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi, leo June 6, 2017 Mkuu huyo wa Jeshi la Polisi amefanya ziara yake ya kwanza Kibiti na Mkuranga kutimiza ahadi baada ya kuombwa na wazee wa maeneo hayo. Eneo hilo la Pwani ni miongoni mwa maeneo ambayo mauaji yameripotiwa.

IGP SIRRO Alivyompa Makavu MAMBOSASA - ''HUO NI USHAMBA''

641817
2459
650
00:07:17
24.09.2019

IGP SIRRO Alivyompa Makavu MAMBOSASA - ''HUO NI USHAMBA'' MKUU wa jeshi la polisi nchini, IGP Simon Sirro, amefanya mkutano na makamanda wa polisi wa mikoa na wilaya nchini wenye lengo la kupanga mikakati ya namna ya kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kuanza hivi karibuni pamoja na usalama wa raia na mali zake nchini. 🤍 Watch More Videos here: 🤍 Watch More Videos here: 🤍 Website: 🤍globalpublishers.co.tz FaceBook: 🤍facebook.com/globalpublishers Instagram: 🤍instagram.com/globalpublishers Twitter: 🤍twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: 🤍 Install Global App

Duh.! IGP Sirro kuwataka wasitumie nguvu kubwa kwa watuhumiwa

234264
927
616
00:03:53
29.08.2021

Mwanahabari digital Fuatilia Channel ya habari za kijamii,siasa zinazohusu Tanzania Akaunti zetu za mitandao ya kijamii Instagram: habari_digital, Facebook:Mwanahabari digital Twitter:HabariDigital Kama huja subscribe bado, tafadhali fanya hivyo na msahuri mwenzako pia

IGP SIRRO APONGEZWA KWA KUJENGA KANISA

374
4
1
00:04:49
05.07.2022

Mhashamu Baba askofu Simon Masondole askofu wa jimbo katoliki la Bunda amepongeza kitendo cha kizalendo cha Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro, kwa kuwa mzalendo na kuchangia maendeleo kwa kujenga kanisa kitendo ambacho kitakuwa daraja litakalowezesha kuvusha wengine katika kuufikia wokovu. Askofu Masondole amesema hayo Musoma Mkoani Mara wakati akiongoza ibada ya Misa takatifu iliyoambatana na ufunguzi wa kanisa kigango cha Muliaza parokia ya Butiama, kanisa ambalo limejengwa kupitia uwezeshaji wa IGP Sirro, wadau pamoja na watu wengine waliofanikisha ujenzi wa kanisa hilo. Naye Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro amewapongeza wadau mbalimbali walioshirikiana nae hadi kukamilisha ujenzi wa kanisa hilo ambapo pia amewataka watu wengine kuendelea kukumbuka mazingira ya nyumbani kwao wanakotoka kwa kusaidia jitihada mbalimbali za kuleta maendeleo.

Simon Sirro Ateuliwa Kuwa IGP

411
0
0
00:00:32
28.05.2017

Rais John Magufuli amteua kamishina wa polisi kanda maalum ya Dar es salaam Simon Sirro kuwa mkuu wa jeshi la polisi nchini (IGP).

IGP Simon Sirro 'alipowaacha hoi' watazamaji wa SIRRO Cup: Tazama

1258
2
0
00:01:15
08.05.2018

Kwenye ufunguzi wa mashindano ya SIRRO Cup, Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini Simon Sirro alikuwa mgeni na aliamua kuthibitisha kuwa na yeye 'yumo' kwenye soka. Hiki ndicho alichokifanya

IGP SIRRO - ''JIANDAENI Kutafuta IGP MPYA, Muda Wowote KIKILIPUKA.....''

694928
2090
540
00:07:14
24.09.2019

IGP SIRRO - ''JIANDAENI Kutafuta IGP MPYA, Muda Wowote KIKILIPUKA.....'' MKUU wa jeshi la polisi nchini, IGP Simon Sirro, amefanya mkutano na makamanda wa polisi wa mikoa na wilaya nchini wenye lengo la kupanga mikakati ya namna ya kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kuanza hivi karibuni pamoja na usalama wa raia na mali zake nchini. 🤍 Watch More Videos here: 🤍 Watch More Videos here: 🤍 Website: 🤍globalpublishers.co.tz FaceBook: 🤍facebook.com/globalpublishers Instagram: 🤍instagram.com/globalpublishers Twitter: 🤍twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: 🤍 Install Global App

IGP Simon Sirro atoa maagizo makali kwa POLISI WASAIDIZI waliopo Muhimbili na UDSM

1129
3
2
00:02:51
31.01.2021

Facebook: 🤍 Twitter: 🤍 Subscribes: 🤍

DAKIKA 45 na IGP Simon Sirro.

6916
48
11
00:46:45
17.05.2021

.Mei 17, 2021 Usisahau kutufuatilia katika mitandao yetu ; Subscribe to our Youtube Channel : 🤍 Facebook : 🤍 Twitter : 🤍 Instagram : 🤍

Alichokisema Ernest Mangu Baada ya IGP Simon Sirro Kuapishwa Rasmi

44505
94
9
00:01:31
29.05.2017

Ernest Mangu, aliyekuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), amewataka waaandishi wa habari kumpa ushirikiano IGP mpya, Kamanda Simon Sirro kama walivyokuwa wakimpa yeye. Visit 🤍 Subscribe 🤍 Akizungumza na waandishi wa habari ikulu jijini Dar es Salaam mara baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli kumuapisha, Mangu alisema nchi inapitia kipindi kigumu cha uhalifu mkubwa kuliko uliowahi kutokea. Visit 🤍 Subscribe 🤍 Alipoulizwa kuhusu mauaji yanayoendelea Rufiji na Kibiti mkoani Pwani, mangu alisema hawezi kuzungumzia chochote, akaongeza kwamba Sirro amekuwepo kwenye jeshi la polisi kwa muda mrefu na amekuwa akishirikiana naye kwa karibu hivyo hata mbinu za kupambana na uhalifu, anazijua vizuri. Visit 🤍 Subscribe 🤍 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… 🤍 🤍 🤍 WEBSITE: 🤍 FACEBOOK: 🤍 TWITTER: 🤍 INSTAGRAM: 🤍

IGP Simon Sirro, Makamanda wa polisi wapewa maagizo mazito

2588
5
1
00:02:52
15.10.2018

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro na Makamanda wote Nchini wameagizwa kuchukua hatua za kuwadhibiti baadhi ya maafisa wanaojihusisha na vitendo vya kupokea rushwa, ubambikizaji wa kesi kwa Wananchi, kutumia nguvu kupita kiasi pamoja na kutoa huduma hafifu kwa Wananchi.

IGP Wambura alivyoagana na Sirro, Aeleza mikakati mizito

8431
20
6
00:02:26
21.07.2022

Subscribe hapa : 🤍 Tufuate Kwenye Twitter : 🤍 Like Ukurasa wetu wa Facebook : 🤍

Dakika 45 na IGP Simon Sirro

2708
14
6
00:51:10
08.07.2020

Usisahau kutufuatilia katika mitandao yetu ; Subscribe to our Youtube Channel : 🤍 Facebook : 🤍 Twitter : 🤍 Instagram : 🤍

IGP SIMON SIRRO AWATAKA WANANCHI KUFUATA SHERIA

4626
27
8
00:04:58
21.08.2021

WATCH WASAFI TV📺 AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113 LISTEN WASAFI FM 📻 88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻 Follow Us On: INSTAGRAM: 🤍 || 🤍 TWITTER: 🤍 || 🤍 FACEBOOK: 🤍 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅. #wasafi #wasafitv #wasafifm

RAIS SAMIA ALIVYOMVALISHA CHEO 'IGP MPYA' MBELE YA SIMON SIRRO, IKULU DODOMA..

3835
14
0
00:05:51
20.07.2022

RAIS SAMIA ALIVYOMVALISHA CHEO IGP MPYA KWA UKAKAMAVU, SIRRO AKISHUHUDIA... Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amewaapisha Viongozi wateule wafuatao: 1. CAMILLUS MWONGOSO WAMBURA, kuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) 2. Aliyekuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi (GP) SIMON NYAKORO SIRRO, kuwa Balozi Wa Tanzania Nchini Zimbabwe 3. Balozi Luteni Jenerali MATHEW EDWARD MKINGULE, kuwa Balozi wa Tanzania nchini Zambia 4. Dkt. SULEIMAN HAJI SULEIMAN kuwa Balozi ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: 🤍 ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:🤍 ⚫️ iOS:🤍 ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: 🤍 ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 784 888982) ⚫️ Email: globaltvonlinenews🤍gmail.com OR abbymrisho🤍gmail.com ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: 🤍 ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: 🤍 ⚫️ GLOBAL RADIO TV: 🤍 ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: 🤍 ⚫️ Subscribe Global TV 🤍

Kuhusu Ugaidi, IGP Simon Sirro atoa tamko | Unatusumbua walikwenda Somalia kujifunza

839
8
1
00:01:27
30.06.2021

Facebook: 🤍 Twitter: 🤍 Subscribes: 🤍

IGP Simon Sirro Aapishwa Rasmi na Rais Magufuli Ikulu, Ernest Mangu Ashuhudia

150334
722
110
00:27:50
29.05.2017

IGP Simon Sirro, ameapishwa rasmi kushika wadhifa wa Mkuu wa Polisi Tanzania (IGP), nafasi ambayo awali ilikuwa ikishikiliwa na Ernest Mangu. Visit 🤍 Subscribe 🤍 IGP Sirro ameapishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli, ikulu jijini Dar es Salaam, hafla ambayo imehudhuriwa na makamu wa rais na viongozi wengine mbalimbali wa nchi, akiwemo Mangu. Visit 🤍 Subscribe 🤍 Zoezi la kuapishwa, lilienda sambamba na kula kiapo cha maadili ya utumishi wa umma kisha likafuatia zoezi la upigaji wa picha za pamoja. kabla ya kuteuliwa kuwa IGP, Sirro alikuwa Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam. Visit 🤍 Subscribe 🤍 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… 🤍 🤍 🤍 WEBSITE: 🤍 FACEBOOK: 🤍 TWITTER: 🤍 INSTAGRAM: 🤍

LIVE: Mkutano wa #IGP Simon Sirro na Wanahabari, Makao makuu ya Jeshi la Polisi Jijini DSM.

5421
30
20
00:22:06
20.10.2018

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro, anaongea na Waandishi wa habari katika Makao Makuu ya Jeshi hilo, ikiwa ni masaa kadhaa tangu kupatikana kwa Mfanyabiashara Mohamed Dewji, 'MO' aliyetekwa juma lililopita jijini Dar es Salaam.

Dakika 45 na IGP Simon Sirro, Desemba 27, 2021.

7783
39
9
00:56:15
27.12.2021

#ITVTanzania #Dakika45 #Mubashara Usisahau kutufuatilia katika mitandao yetu ; Subscribe to our Youtube Channel : 🤍 Facebook : 🤍 Twitter : 🤍 Instagram : 🤍

Kangi Lugola na IGP Simon Sirro wakutana uso kwa uso

91835
310
47
00:03:06
20.07.2018

Waziri wa Wizara ya Mambo ya ndani ya nchi Kangi Lugola amekutana na Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Sirro na maofisa wengine wakuu wa Jeshi hilo, Makao makuu ya Polisi DSM.

IGP SIMON SIRRO AKIZUNGUMZA NA BAADHI YA WANANCHI WALIOWEKA MAWE BARABARANI

2375
21
4
00:03:04
10.12.2020

IGP Simon Sirro akizungumza na baadhi ya wananchi wa kijiji cha Kelema wilaya ya Chemba mkoani Dodoma wakati akiwa safarini kuelekea mkoani Arusha Alilazimika kusimama na kuzungumza na wananchi hao kufuatia kitendo chao cha kufunga barabara kuu ya Dodoma, Babati kwa kuweka mawe barabarani na kusababisha usumbufu kwa watumiaji wengine.

IGP Simon Sirro: Kinondoni Inaongoza kwa Uhalifu

1717
9
1
00:04:05
26.05.2021

Leo 26.05.2021 Afande IGP Sirro amekutana na kuzungumza na maofisa na askari wa Mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni ambapo amewaagiza askari kutimiza wajibu wao mahala pa kazi, kutenda haki kwa wananchi wanaowahudumia sambamba na kudumisha nidhamu ya kazi.

IGP Sirro Aanza na Mauaji Rufiji, Kibiti na Ikwiriri Mkuranga, Asema Ubaya Ubaya Tu!

75355
274
77
00:25:52
31.05.2017

IGP Simon Sirro amewachimba mkwara mzito watu wanaoendesha mauaji ya viongozi wa serikali, chama na askari kwenye silaya za Mkuranga, Ikwiriri na Rufiji na kuwahakikishia wananchi kwamba siku zao zinahesabika. Akizungumza na waandishi wa habari, kamanda Sirro amesema Visit 🤍 Subscribe 🤍 Kwa upande wa sakata la mwanamke kudaiwa kuibiwa kichanga chake kwenye Hospitali ya Temeke, Waziri Ummy amesema baada ya mwanamke huyo kukataa ripoti ya mganga mkuu inayoonesha kwamba hakuwa na watoto mapacha, ameamua kuunda kamati maalum itakayohusisha jopo la wataalam ambapo watatoa majibu baada ya siku 14. Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… 🤍 🤍 🤍 WEBSITE: 🤍 FACEBOOK: 🤍 TWITTER: 🤍 INSTAGRAM: 🤍

#LIVE: IGP Simon Sirro anazungumza muda huu kuhusu tukio la mauaji Dar

1459
6
1
00:15:24
27.08.2021

#LIVE: IGP Simon Sirro anazungumza muda huu kuhusu tukio la mauaji Dar

#KONANI #EXCLUSIVE: MAHOJIANO NA MKUU WA JESHI LA POLISI TANZANIA IGP. SIMON SIRRO

7242
40
10
01:11:50
18.11.2019

#MUBASHARA: MAHIJIANO NA MKUU WA JESHI LA POLISI TANZANIA IGP. SIMON SIRRO

LIVE | Anachokisema IGP SIMON SIRRO hivi sasa kwa Makamanda wa Polisi.

1419
11
0
01:04:52
21.06.2019

#Polisi #IGPSIMONSIRRO #Tanzania Kutazama Vipindi murua vya Kwanza TV LIVE na BURE KABISA click: 🤍 Tunakushushia Makala za moto 🔥, Movies, Breaking news, TV Shows, Music Videos, Comedy and exclusive Interviews wakati wote na popote. SUBSCRIBE katika channel yetu ya YouTube kwa video za nguvu. 🤪 Follow Us On Our Social Media Pages: Facebook: 🤍 Twitter: 🤍 Instagram:🤍

IGP Simon Sirro, akijibu maswali ya waandishi kuhusu kutekwa kwa Mo

77962
275
168
00:21:23
19.10.2018

IGP Simon Sirro, akizungumza na WAANDISHI WA HABARI siku ya leo Ijumaa, Oktoba 19, 2018, kwenye ukumbi wa mikutano Makao Makuu ya Polisi jijini Dar es Salaam. #KwanzaHabari

Azam TV - IGP Simon Sirro amekutana na IGP wa Rwanda na kutoa tamko

1769
7
0
00:01:51
04.12.2017

IGP wa Tanzania, Simon Sirro amefanyya kikao na IGP mwenzake kutoka nchini Rwanda na wawili hao wametoa onyo kwa wahalifu wanaofanya matukio baina ya Tanzania na Rwanda. Watazame hapa.

🔴#LIVE: MKUU WA JESHI LA POLISI INCHINI (IGP) SIMON SIRRO ANAZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI MUDA H

3598
3
0
00:27:19
02.08.2021

🔘JE, NA WEWE UNA HABARI? 🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV ( +255 767 400402), 🔘WhatsApp ( +255 692 318213) 🔘Email: mwanahalisitvnews🤍gmail.com 🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: 🤍

Назад
Что ищут прямо сейчас на
IGP SIMON SIRRO poco f3 sensi Орлан flower of evil kiss simenye ko mohamed sadki dxn kugoo v1 (d3f) carousel slider jasmine guy hmidou dib mimir pururuca scum svd Delphi api cabdisalan jimmy indian idol judges e suv abbas siddiqui waz ahn hani lonein